mwabukusi ashinda urais tls

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TheMaster

    TLS Kuwa chama kipya cha siasa chini ya Mwabukusi

    Habari wanajukwaa, Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jina maarufu la Adv. Boniface Mwabukusi. Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa mwanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi lakini kwa kauli yake alikiri kuwa alijivua uanachama NCCR baada...
  2. comte

    Sioni Rais wa TLS Wakili Mwabukusi akisimamia utekelezaji wa ibara na. 4 ya sheria ya TLS

    4. Objects The objects for which the Society is established are: to maintain and improve the standards of conduct and learning of the legal profession in Tanzania; to facilitate the acquisition of legal knowledge by members of the legal profession and others; to assist the Government and the...
  3. kavulata

    Uchaguzi TLS ulikuwa kati ya Sheria na utulivu wa nchi

    Kuna wakati watanzania wa kawaida wanashindwa kuchagua kipi Bora kati ya Sheria kwa upande mmoja na amani na utulivu kwa upande wa pili. Mh. Mwabukusi, Rais mteule wa TLS anahubiri Sheria Sheria Sheria Sheria mwanzo mwisho kwenye taifa ambalo watu wake wanajiona kuwa wako huru, Wana amani na...
  4. J

    Malalamiko ya Wakili Nkuba yanaonyesha aliitegemea sana kauli ya Nape kwamba Ushindi unategemea pia mtangaza Matokeo

    Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza. Nkuba anaamini kabisa matokeo halali ni yale majumuisho yanayotangazwa na msimamizi wa Uchaguzi. Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia...
  5. J

    Boniface Mwabukusi siyo Maarufu ila ana kibali, ogopa sana Mtu wa aina hii

    Kiukweli Boniface Mwabukusi amejulikana juzikati tu wakati wa mchakato wa Bandari. Mwabukusi amewahi kugombea Ubunge huko kwa akina Prof Mark kupitia NCCR Mageuzi lakini hakunaga anayejua. Ila ghafla kwenye Uchaguzi wa TLS huyu Mwabukusi amejulikana nchi nzima kwa wakubwa na Wadogo. Boniface...
  6. ChoiceVariable

    Kwa CV hii ya wakili Mwabukusi na Rais Mteule wa TLS inasadifu hulka na tabia zake

    Nilikuwa najiuliza Kwa nini Jamaa ana tabia za kuhisi kuonewa mda wote, kukosa utulivu na kurupuka mara kwa mara vitu ambavyo havifanani na Mawakili wenzie wasomi vinatoka wapi? Kumbe jibu liko hapo kwenye CV yake, ni mtu amekulia mtaani Kwa wahuni, kafanya kazi za kihuni na ametokea kwenye...
  7. Cute Wife

    Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

    Wakuu, https://www.youtube.com/live/xowt9FmWrvQ?si=db2lZWYu079tIJb7 UPDATE: Mwabukusi ashinda Urais TLS kwa kura 1274 Jumla ya kura: 2218 Kura zilizoharikika: 3 1. Boniface Mwabukusi - 1274 2. Sweetbert Nkuba - 807 3. Kapteni Ibrahim Bendera - 58 4. Paul Kaunda - 51 5. Emmanuel Muga - 18 6...
Back
Top Bottom