Habari wakuu!
Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.