Ni maneno yalio tolewa na binti mmoja mwenye uzuri wake. Na sauti flani hivi ya kibez ikiwa na mchanganyiko na mahaba ya kudeka.
Huyu ni binti ambae nilikutana nae katika harakati za kula maisha akiwa na wenzie . Basi katika kufahamiana siku ya kwanza wao ndio walikua obsessed na sisi. Walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.