Kwa mnaotumia barabara hii asubuhi, tumeona msongamano mkubwa wa magari kila siku.
Magari mengi yamehama toka kutumia barabara ya Bagamoyo na sasa watu wengi waendao makazini mjini CBD wanaitumia Round About ya Kawe na hii barabara ya Mwai KIbaki.
Na msongamano huo si wa kitoto.
Siku askari wa...