mwaka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

    Wakuu Joseph Kusaga, Mkurugenzi Mtendaji Clouds Media Group akizungumza kwenye tukio la Uzinduzi wa Malkia wa Nguvu amesema "Huu ni mwaka tunakwenda kwenye uchaguzi na uchaguzi wetu tumeshasema mama ndiye Rais wetu. Mimi Sina Chama ndio maadili ya shughuli ninayofanya lakini mama amepewa...
  2. Mshangazi dot com

    Nini kimekufurahisha au kukukwaza kwenye majukwaa ya JF toka mwaka 2025 uanze?

    Watu wanaokosa lugha za staha wananiuzi sana. Ila nyuzi zilizonifurahisha nikacheka sana in 2025 ni 👇 . https://www.jamiiforums.com/threads/tukio-gani-ulishawahi-kufanya-ukajiona-mshamba-sana.2304368/...
  3. Mshangazi dot com

    Kitu gani uliamua kukifanya toka mwaka umeanza, ambacho kimezaa matunda au kimekusogeza mbele?

    Tupe uzoefu wa mwaka 2025 kwa siku hizi siku 64 za mwanzo. Toka january mpaka leo, vitu gani vya manufaa au tabia gani mpya zimekusaidia / zimebadili maisha yako. Binafsi ni ku prioritize afya yangu, kufanya mazoezi na kula vizuri.
  4. KING MIDAS

    Fanya hivi kukuza mauzo ya bidhaa zako na kujisogeza zaidi kwenye mafanikio mwaka 2025

    ✓✓2025 MWAKA MPYA NA MAMBO MAPYA. ∆ Huu ni mwaka wako wa mafanikio sasa usichelewe fanya haya yafuatayo ili uweze kufika malengo yako mapema ~Tangaza biashara yako kwa namna nyingine kabisa ambayo itakufanya kuwafikia wateja wapya kila siku ~Tengeneza matangazo ya sauti na picha wateja...
  5. hon daniel killion

    Habarini wadau, je inawezekana kijana ambaye amemaliza form four 2018 na kutaka kusoma diploma nyingine ya upande wa afya mwaka 2025

    Habari zenu humu ndani, Nauliza mfano mtu kamaliza form four 2018 na akaend diploma akamaliza 2022, je anaweza apply mwaka 2025 kusoma diploma ya afya mfano MUHAS na kupata au achague tu private ingawa qualifications anazo.
  6. Mr Why

    Mitambo ya kuzuia vurugu za uchaguzi wa Rais mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya

    Mitambo ya kuzuia ghasia za uchaguzi wa raisi mwaka 2025 iliyonunuliwa na Serikali inatisha sana, vyama pinzani vitakapoleta vurugu vitaishia pabaya Vyama pinzani mkiwemo CHADEMA na vinginevyo nendeni pole pole ndugu zangu kwasababu mitambo ya kupambana na vurugu iliyomwagwa Jeshi la Polisi ni...
  7. Cute Wife

    Kama nilikukosea mwaka 2024 acha ujinga 2025 ili nisiendelee kukupiga spana 2025!

    Wakuu, Kama ulikula spana 2024 jirekebishe, acha uchawa, ukupe na umaandazi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: Ukibisha utakula spana tu😹😹. Happy New Year watu wazuri wa JF, wengine tushamaliza 25 tunaenda 26😎.
Back
Top Bottom