UJUMBE WA MWAKA MPYA 2025 KWA VIJANA WENZANGU WA KITANZANIA
Na Mohamed Ali Kawaida, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa
Ndugu vijana wenzangu!
Tukiwa tunaanza safari ya mwaka mpya wa 2025, nipende kutumia fursa hii kuwatakia heri ya mwaka mpya, afya njema, na mafanikio tele. Mwaka mpya ni fursa mpya...
Wakuu,
Tunaelekea mwaka mpya 2025 siku chache zijazo, umejipangaje? Mwaka 2024 ulikuwa wa kufosi, tukafosi na kufosi, baadhi vikanyooka, vingine tukafosi kweli mpaka tukatoboa, vikingine vikashupaza shingo😂😂umeweza. Je, umeweza kutimiza malengo yako kwa asilimia ngapi?
Katika hayo yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.