mwaka mpya wa fedha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BOB LUSE

    Waziri mpya wa Mawasiliano, anza kazi na Azam Media. Wamepanga kutupiga kwenye vifurushi vipya

    Ndugu Mteja, kuanzia 1/8/24 kutakuwa na mabadiliko ya bei. Kifurushi cha 25000 kuwa 28000; 17000 kuwa 19000; 10000 kuwa 12000; 6000 kuwa 7000 na 3000 kuwa 4000. Azam decoder hawana Ubora kuzidi Dstv, Wanatumia kigezo cha kutuonyesha mipira Ili kuchaji gharama zaidi, ongezeko hilo ni kama...
  2. Mtoto halali na hela

    Utekelezaji wa bajeti mpya kuanza leo

    Heri ya mwaka mpya wa kiserikali, utekelezaji wa bajeti mpya umeanza. Badiliko la kwanza kwenye kodi ya pango toka 1,500 hadi 2,000 tuendelee kujuzana bidhaa mbalimbali na bei zake mpya. Umeme wa 10k makato zaidi ya 3,000, acha tunyooshwe tu Ref: EC1022156... Cost 6,557.38 VAT 18% 1,180.33...
Back
Top Bottom