Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) CPA Charles Kichere lwo Ikulu akiisoma ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2021/2022, amesema deni la Serikali kwa sasa ni Tsh. Trilioni 71.31.
“Deni la Serikali kufikia June 30,2022 lilikuwa Tsh. Trilioni 71.31 ikilinganishwa na Tsh...