Napenda kutoa malalamiko yangu kwa bank ya MCB.Hii bank kitengo chao cha huduma kwa wateja hakina msaada wowote kwa sababu baadhi ya namba hazipatikani na namba inayopatikana simu haipokelewi.Ni muda wa wiki moja sasa kila nikijaribu kuwapigia simu haipokelewi kwa zaidi ya saa moja.Hata...
Hii bank viongozi wa chama cha waalimu, TSC na wahusika wengine wengi, walikuwa na dhumuni gani kuianzisha? Waalimu walikuwa na vyama vta kuweka na kukopa na vilikuwa(hata sasa vipo) kisheria kabisa!
Nimejaribu kufuatilia nikakuta wana matawi matatu Dar Es Salaam, mengine ni Mwanza, Morogoro na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.