Abdallah, Hasara Roho, D Timing, mtoto wa Kusini, mtoto wa Kiwalani, MTOTO WA MASKANI??
Mara ya kwanza nilimsikia kwenye ngoma yake iliyoitwa "Uwe Wangu" akimshirikisha Dully Sykes kwenye chorus na kuanzia hapo nikashawishika kumfuatilia.
Ngoma hii ilitengenezwa na Marco Chali akiwa Kama Kawa...