Kucheza na jukwaa kunaondoa umakini uwanjani, kunaongeza wasiwasi kama ukipoteza nafasi, ukipigwa chenga, timu ikichelewa kupata bao na ukifanyiwa substitution. Kutetema kunamfanya mayele ahitaji nafasi 6 ili atumie vizuri nafasi moja vizuri, hiyo sio sawa. kwa upande mwingine Phiri wa Simba...