CCM ndiyo chama kikuu cha siasa nchini na kikongwe Afrika. Chama hiki kimejengwa katika misingi imara ya kusuluhisha migogoro, kujiendesha kiuchumi, kujiongezea wanachama, na kina mfumo imara wa utawala na kuwajibishana.
Katiba ya CCM imeandikwa vizuri na imebeba matarajio ya wananchi. Viongozi...