Mwanafunzi anayefahamika kwa jina la Joel Mariki (14) anayesoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Bagara iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara ambaye alipotea Jumamosi ya Septemba 14, 2024 katika Mlima Kwaraa, amepatikana akiwa hai.
Pia soma: Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.