Kila mwanamke anapenda hela ila sio wajibu wako kama hujamuoa,
Mwanamke akikupenda:
Hakosi hela ya nauli
Hakosi hela ya saloni
Hakosi bando
Simu haiwezi kuisha chaji
Hawezi kuwa busy
Tatizo la vijana mnatumia hela kununua attention,
Mwisho unalia mbona nilimpa kila kitu.
💼 MHADHARA NA.4
Wapo wanawake ambao baada ya kuolewa wanaamua kufunga biashara zao halali walizokuwa wakizifanya awali kabla ya kuolewa, kuna ambao wanaamua kuacha kazi, wengine walikuwa mbioni kwenda chuo kusomea ualimu, udaktari, uhasibu, n.k, lakini baada ya kuolewa wanazika ndoto zao.
Leo...
Bwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga...
Wasalam wakuu.
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wadada kuwa na maringo. Unakuta mwanamke miaka 40 kupanda unatongzwa halafu anaweka maringo. Mkae mkijua wanaume wa sasa sio wakizamani ukiringa wanakukaushia.
Mtu mwenyewe sura mbaya hali ngumu watoto kama wote kila mtoto na baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.