mwanamke akatai hela

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Magical power

    Kila mwanamke anapenda hela ila sio wajibu wako kama hujamuoa

    Kila mwanamke anapenda hela ila sio wajibu wako kama hujamuoa, Mwanamke akikupenda: Hakosi hela ya nauli Hakosi hela ya saloni Hakosi bando Simu haiwezi kuisha chaji Hawezi kuwa busy Tatizo la vijana mnatumia hela kununua attention, Mwisho unalia mbona nilimpa kila kitu.
  2. RIGHT MARKER

    Leo nakuuma sikio wewe mwanamke; kuolewa kusiwe chanzo cha kuacha kujishughulisha kwenye kazi

    💼 MHADHARA NA.4 Wapo wanawake ambao baada ya kuolewa wanaamua kufunga biashara zao halali walizokuwa wakizifanya awali kabla ya kuolewa, kuna ambao wanaamua kuacha kazi, wengine walikuwa mbioni kwenda chuo kusomea ualimu, udaktari, uhasibu, n.k, lakini baada ya kuolewa wanazika ndoto zao. Leo...
  3. Lovelovie

    NI kweli kuwa mwanamke aliyekuwa na mahusiano mengi hawezi kutulia akiolewa?

    Bwana Yesu apewe sifa. Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa. Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga...
  4. shuka chini

    Wanawake punguzeni maringo

    Wasalam wakuu. Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wadada kuwa na maringo. Unakuta mwanamke miaka 40 kupanda unatongzwa halafu anaweka maringo. Mkae mkijua wanaume wa sasa sio wakizamani ukiringa wanakukaushia. Mtu mwenyewe sura mbaya hali ngumu watoto kama wote kila mtoto na baba yake...
Back
Top Bottom