Wana Jamii Naomba Msaada Wa Mawazo Mke Wangu Hakuna Kitu Ambacho tunaweza Kuongea Tukaelewana Labda Niongee Kuhusu Chakula kizuri ndio tunaweza kuelewana Lakin Kuhusu Maendeleo Yetu Yeye Amekuwa Si muumini wa mambo hayo Maana Kuna Mtu Mmoja Alisema MAWAZO USIYAFANYE KUWA SIRI YATAKUSHINDA NGUVU
Share experience apa mwana MMU, imewahi kukukuta pale unakuta kuna mwanamke umemuelewa halafu unajaribu kumpa maelekezo hakuelewi, hamna jibu, hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata salamu halafu mwamba ukijitathmini unajiona hiyo chupi ni mechi yako ya ushindi unabak...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.