💼 MHADHARA NA.4
Wapo wanawake ambao baada ya kuolewa wanaamua kufunga biashara zao halali walizokuwa wakizifanya awali kabla ya kuolewa, kuna ambao wanaamua kuacha kazi, wengine walikuwa mbioni kwenda chuo kusomea ualimu, udaktari, uhasibu, n.k, lakini baada ya kuolewa wanazika ndoto zao.
Leo...
Hakuna muda wa kuremba maneno
Mwanamke yuko tayari kuishi na mwanaume hata asiyempenda ili tu atimize hitaji lake.
Ukikamuliwa sana pesa hupendwi.
Jamaa mmoja alikuwa kila akipata shekeli lazima ampe huyo demu wake na demu anampelekea dume lake.
Siku moja rafiki wa njemba muhomgaji alimkuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.