💼 MHADHARA NA.4
Wapo wanawake ambao baada ya kuolewa wanaamua kufunga biashara zao halali walizokuwa wakizifanya awali kabla ya kuolewa, kuna ambao wanaamua kuacha kazi, wengine walikuwa mbioni kwenda chuo kusomea ualimu, udaktari, uhasibu, n.k, lakini baada ya kuolewa wanazika ndoto zao.
Leo...