mwanamke muongeaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

    Uko kazin? Upo wapi sahiz? Umekaa na nani?. Umekula nn?. Umelala na nani? Mnaongea nn?. Hizo ndio Stori za Bidada wangu Mchepuko wangu madam Fulani Hivi Mwalimu 🤣🤣 Hana Stori kabisa, yeye ni maswali mwanzo mwisho, ni maswali mwanzo mwisho !!.Maswali mpaka Anaboa, nimeshamwambia hivi wee...
  2. Je, mwanamke muongeaji sana anafaa kuolewa?

    Kuna mdada anaongea Sana yani ukiwa nae katika mahusiano yeye kila siku kufatilia kupitia majirani au mashoga wa mitaani, hii inakuaje?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…