mwanamvua mrindoko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko akishiriki zoezi la Kupiga Kura Katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mkuu wa Mkoa Wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akiwa kwenye foleni kusubiri kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa katika kituo Cha shule ya Msingi Ilembo manispaa ya Mpanda Mkoani hapa. Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Katavi
  2. Waufukweni

    LGE2024 RC Katavi, Mwanamvua Mrindoko: Tendeni Haki na Usawa kwa Vyama vyote kulingana na Kura vitakavyopigwa

    Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wadau wa uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali iliyowekwa kwaajili ya Kusimamia shughuli za uchaguzi wa serikali za mitaa. Mrindoko ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake...
  3. Stephano Mgendanyi

    RC Katavi, Mwanamvua Mrindoko: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka

    RC KATAVI, MHE. MWANAMVUA MRINDOKO: Uzalishaji wa Chakula Mkoa wa Katavi Waongezeka UJUMBE WA RC KATAVI KWA WATANZANIA KUHUSU MAZINGIRA WAKATI WA MAAHDIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNANO. Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko ametoa wito kwa Wananchi wa Mkoa huo kutunza mazingira kwa wivu...
Back
Top Bottom