mwanasheria mkuu wa serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chiembe

    Mwanasheria Mkuu wa serikali aingilie kati, haiwezekani kila ardhi yenye hati, kesi yake ifunguliwe Mahakama Kuu, hatuna nauli kuja mjini

    Nadhani mwanasheria Mkuu wa serikali ayaangalie mapungufu katika ofisi ya wakili Mkuu wa serikali. Kama mwendesha mashtaka wa serikali (Dpp)anaweza kuendesha mashtaka mpaka mahakama ya wilaya au ya mwanzo, na wana ofisi huko, kwa nini hawa wa Wakili Mkuu wa serikali sheria isiweke utaratibu...
  2. Waufukweni

    LGE2024 DODOMA: Mwanasheria Mkuu wa Serikali apiga Kura Ilazo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu Hamza Johari amepiga kura katika eneo la llazo jijini Dodoma Amepongeza Waandaaji na Waratibu wa Uchaguzi kwa mpangilio mzuri uliopo kwenye vituo unaofanya watu watumie muda mfupi katika zoezi la kupiga kura.
  3. Z

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali; zoezi la kutafasiri sheria zote kwa lugha ya Kiswahili kukamilika mwezi Novemba.

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali amesema kuwa zoezi lililo kuwa linaendelea la kuzitafasiri sheria mbalimbali kutoka lugha ya Kiingereza kwenda kwenye lugha ya Kiswahili zoezi hilo litakamilika Mwezi Novemba mwaka huu 2024. Sisi wananchi tunaipongeza Wizara ya Katiba kwa kazi nzuri inayo ifanya...
  4. J

    Mwanasheria mkuu wa Serikali ameapa kiapo cha uaminifu Bungeni

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ameapa kiapo cha uaminifu bungeni leo Agosti 27, 2024. Ameapa mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, katika kikao cha kwanza cha Mkutano wa 16 wa Bunge. Hamza aliteuliwa na Rais, Samia Suluhu Hassan kushika...
  5. B

    Wakili Onesmo Olengurumwa ashinda kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

    29 July 2024 Mahakama ya Rufaa Tanzania Dar es Salaam, Tanzania Kesi ya Onesmo Olengurumo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=M89ro2AWtds Mahakama ya Rufaa Tanzania yatengua hukumu ya Mahakama Kuu katika kesi ya msingi iliyofungiliwa Mahakama Kuu kupinga ...
Back
Top Bottom