Nimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba
Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo
Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu...