John Krasinski ametajwa na jarida la People kama "Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Aliye Hai" (Sexiest Man Alive) kwa mwaka 2024.
Kwa mujibu wa jarida la "People Magazine" kutoka Marekani, Novemba 11 kupitia onyesho maarufu la "The Late Show" lililoongozwa na Stephen Colbert, Krasinski, muigizaji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.