mwandikowabsot

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SoC01 Subira

    Sifa njema zote za mstahiki Mwenyezi Mungu Sub'hana wa Ta'ala, Rehma na Amani zimshukie kiongozi wa Ummah, Mtume wetu Muhammad Swallallahu alaiyhi wasallam. Kwenye mafundisho (ya dini) tunaambiwa, kwa kila mwenye kutia nguvu na kujiwekeza katika kuwafanyia mema wamzungukae na atarajie malipo...
  2. Alikiba anakutaka usiwe na wivu

    Wivu ni hisia zinazotokana na mapenzi na zinazalishwa haswa na uoga wa kwamba mtu anayempenda anapenda zaidi kwingine. . "We ndo my pain killer kushinda hata panadol umejaa mapenzi mashetani wanakaa kando, Oooh Shushu you for me, from Zero to Hero, bado tuko pamoja why you getting jealous?"-...
  3. SoC01 Vitu 7 vya kufanya kabla hujamaliza chuo

    Niwasalimu vijana walioko vyuoni, kwa kuwaandikia vitu muhimu ambavyo ni matuamaini yangu kila mmoja wenu atahitaji kuvifanya kabla hajamaliza masomo. . Ni muhimu mimi kuyazungumza haya kwa sababu kubwa mbili, Moja, kwa sababu nataka idadi kubwa ya vijana wawe na uwezo wa kutokutegemea...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…