Wakuu,
Viongozi Afrika Mashariki wameingiwa na pepo gani?
Kutoka nchini Kenya mwandishi anayejulikana kwa jina la Bruce John ameripotiwa kuteswa na kulawitiwa mara baada ya kufichua uovu wa Gavana wa Mombasa.
Bruce kupitia mfululizo wa video zilizowekwa kwenye mtandao wa Tiktok alidokeza kuwa...
bruce john
mwandishi bruce john
mwandishiwamtandaoni
ukatili kwa waandishi
ukatili wa kijinsia
utekaji kenya
waandishi habari kenya
waandishi wa habari