Nimepita mahali nikakutana na jopo likiwa na gari yao likiuza na kutangaza faida za mmea wa mwani ikiwa ni pamoja na kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
Kuna ukweli wowote kwenye hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.