mwanza city

Mwanza or Rock city to the residents is a port city on the southern shore of Lake Victoria in north-western Tanzania. With a population of more than 800,000, it is Tanzania's second largest city, after Dar es Salaam. Mwanza is the capital of the surrounding Mwanza Region, and is administratively divided into two municipal districts within that Region - Ilemela and Nyamagana.

View More On Wikipedia.org
  1. EXODUS ZION

    Nichukue wasaa huu kuwapongeza Mwanza city council jinsi wanavyofanya kazi

    Ndugu wadau habari za muda huu. Ukifika mwanza sekour tour wenyewe wanakuita seketule 😂 utakutana na Halmashauri ya jiji la mwanza wale jamaa kwa kweli wako vizuri sana. Wanafanya kazi ipasavyo sio kazi tu wanamshikamano, wananguvu, wachapakazi ani kila kitengo pale wako vizuri sana hasa...
  2. U

    Kwa mchango mkubwa kiuchumi wa mikoa ya Mwanza na Mbeya ni hasara kubwa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato kujengwa Dodoma

    Wadau hamjamboni nyote? Sina chuki wala husuda yeyote ila Dodoma kujengwa uwanja wa ndege wa kimataifa ni hasara kiuchumi Mkoa hauna mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yetu japo unapigiwa debe kila kukicha kwa nguvu kubwa Serikali itafakari upya na tuwekeze kwenye mikoa yenye mchango mkubwa...
  3. T

    Askofu Mkuu Jimbo Katoliki jimbo la Mwanza: Mnaobeza maendeleo waulizeni Mama zenu

    “Tusibeze maendeleo tuliyoyapata mpaka leo bila shaka wale wanaoweza kubeza leo waende waka waulize mama zao. Miaka 60 iliyopita maisha hayakuwa kama ya leo hata miaka 50 ninayoifahamu mimi tofauti ipo kuna wakati tuliishi na mimi niliishi Musoma kwa muda fulani baada ya vita maisha tuliyokuwa...
  4. Erythrocyte

    Pre GE2025 Wadau washangazwa na Boda boda Mwanza kumshukuru Rais Samia katika Jambo lisilojulikana

    Wadau wengi kwenye Sherehe za Kuzima Mwenge wameshangazwa na Walioitwa Bodaboda kujitokeza hadharani kwa kile kilichotajwa kama kumshukuru Rais. Utata umekuja baada ya Maofisa hao wa Usafirishaji kushindwa kusema wanamshukuru Rais kwa jambo lipi, Yaani wanashukuru bila hata kujua...
  5. Gordon Technology

    Fundi wa GPS tracking kwenye pikipiki, bajaji na magari Mwanza na mikoani

    TUNAFUNGA kifaa cha GPS TRACKING Kwny pikipiki,bajaji na magari-0746373222. Kifaa hiki husaidia pindi ukiibiwa uweze KUJUA kipo wapi pia uweze kukizima bila mwizi Kujua. Pia husaidia kuona mizunguko ya chombo chako Kila sehemu kinapoenda lakini hata ukimpa bodaboda hawezi kudanganya Tena kua...
  6. W

    Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Habari wanajami, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida. Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya. Dagaa wa nyasi.(wasio na mchanga) Gunia yenye debe 10 kilo 40 (tsh180000/=-tsh260000/=.)...
  7. Zombie S2KIZZY

    Karibuni Jijini Mwanza (Rock City)

    Hahahaaaaa wabongo bhana cjui ni nani anaewauzia tumbaku yaan kabla hamjavaa sox mnaanza kuvaa viatu alfu ndo mvae sox kwel viatu vichwa box rafu Leo mmechezea sharubu za rock city sa nawafanya wafu. Hivi kwann watanzania ni watu wa ajabu Sana ujinga ukabila ujuaji na ushamba ambao wametoka...
  8. Ramon Abbas

    Plot4Sale Karibu Galilaya nikuuzie kiwanja. 10Kms from Mwanza city centre

    Karibu sana Kiwanja kiko Jijini Mwanza. Kata: Muhandu wilaya: Nyamagana mtaa: Galilaya kiwanja kimepimwa, beacon tayari zishawekwa ukubwa wake ni 28 by 18 hatua za miguu. Miundombinu yote ipo kiwanjani. Kiko Barabarani kabisa. Bei ni 10million Tshs karibu tuwasiliane 0713096076
  9. L

    Mwanza City: The Photo Gallery

    a special thread for the rocky city. let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....
Back
Top Bottom