Wakuu,
Nilidhani mambo ya uchawa yako CCM tu, kumbe hadi CHADEMA machawa wamejaa kibao na leo kwenye huu mkutano wao ndo nimeweza kuwa
==============================================
Akizungumza wakati yupo kwenye mkutano wa "kumlazimisha" Mbowe agombee kwenye kinyang'anyiro cha Uenyekiti...
Wakuu,
Akizungumza kwenye moja ya hoja zale kwanini Mbowe aendelee kuwepo, Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa amesema kuwa ilikuwa ni kidogo tu Mbowe anyongwe iwapo ile kesi yake ya ugaidi ingesikilizwa
======================================
Hivi kati ya Mbowe na Lissu nani alikuwa on the verge ya...