Kwanini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu?
Na Luqman Maloto
Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara.
Uamuzi kama huo ulikuwa Mei 28, 2018, Kinana...