mwenyekiti wa ccm wilaya mpya ya gairo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MPANDA Jr

    Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Gairo amwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana

    Mwenyekiti wa CCM Wilaya mpya ya Gairo Bwana Omary Awadhi, amemwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Gairo. Kwa mujibu wa mwenyekiti huyo tukio hilo lilitokea usiku wa manane baada ya watu wasiojulikana kumgongea na kumwamsha. Hata hivyo anasema aligoma kufungua mlango bali...
Back
Top Bottom