Bwana Mushi;
1. Una elimu gani
2. Umri wako
3. Uzoefu wako kwenye biashara
4. Unafanya biashara Gani?
5. Utafanyaje ukichaguliwa, kutokuingiza siasa kwenye biashara?
6. Ni nini msimamo wako, kuhusu migomo ya wafanya biashara?
7. Saa100 ameruhusu raia wa kichina kufanya biashara za umachinga...