mwerevu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Tofauti kubwa kati ya mwerevu na mjinga, tajiri na maskini

    Kwema Wakuu! Tofauti kubwa ya mwerevu na mjinga ni kuwa Mwerevu anaweza kujifanya, kuigiza kuwa ni Mjinga ila Mjinga hawezi kujifanya wala kuigiza kuwa ni mwerevu. Vile vile Tajiri huweza kujifanya au kuigiza ni Maskini lakini Kamwe Maskini hana uwezo wa kujifanya wala kuigiza yeye ni Tajiri...
  2. Mr Chromium

    Kenya: Ilikuaje hadi mtu mmoja anaua watu 42 bila polisi kujua?? Je muuaji ni mwerevu kuliko vyombo vya usalama?

    Sakata linaanza na Mwili mmoja wa mwanafunzi aliyekua anasoma Jomo kenyata university of Agriculture and technology (JKUAT) unagunduliwa kwene ambapo eneo la dampo mjini Nairobi.Baada ya kutolewa unagundulika ni wa kijana anaitwa…densel Omondi… raia wanadhan kua aliuawa na vyombo vya usalama...
  3. GENTAMYCINE

    Baada ya Utafiti wa Uongo kuwa Watanzania wana Furaha Afrika nzima, Mwanasaikolojia Nguli na Mwerevu apingana nao

    "Ukweli ni kwamba siyo kwamba Watanzania wana Furaha bali wana Amani ambayo inapelekea Wao kuridhika haraka na kila Wanachokikuta na Wanachokipata kutokana na Umasikini wao Waliouzoea ila kiuhalisia wengi Wao wamekuwa Wakikereka na Maisha yao magumu yasiyo na Ufumbuzi hadi wameamua Kuyafurahia...
  4. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC kabla hamjaanza kususia maandazi ya Azam jibuni hoja nzito za mwerevu Zaka za Kazi

    ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE Mwaka 2004, beki wa kushoto wa Simba, Ramazan Ramazan, raia wa Burundi, aliomba klabu yake imuache huru kwa sababu amepata timu Ubelgiji. Simba kiroho safi kabisa wakampa barua yake ya kumuacha (release letter) na kumtakia kila la heri. Viongozi...
  5. Mshana Jr

    Ruto asipokuwa mwerevu yanaweza kumpata ya mwendazake na kuishia kipindi kimoja tu

    William Ruto rais aliyethibitishwa na mahakama baada ya mpinzani wake kugomea matokeo yuko hatarini kuangushwa kabla hata ya kumaliza kipindi chake cha kwanza. Ameanza na papara huku akijua fika kuna majeraha mengi ya kuponya kwanza. Kwa haiba na hulka Ruto ni mbepari si mjamaa, tajiri mkubwa...
Back
Top Bottom