ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE
Mwaka 2004, beki wa kushoto wa Simba, Ramazan Ramazan, raia wa Burundi, aliomba klabu yake imuache huru kwa sababu amepata timu Ubelgiji.
Simba kiroho safi kabisa wakampa barua yake ya kumuacha (release letter) na kumtakia kila la heri.
Viongozi...