mwesiga baregu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Familia ya Profesa Mwesiga Baregu, wasilianeni na WIKIPEDIA warekebisha tarehe ya kifo cha Profesa Baregu

    Leo katikati pitapita zangu mtandaoni, nilikutana na habari fulani kuhusu Profesa Baregu na nikaona niingie WIKIPEDIA labda naweza kupata taarifa zaidi. Hata hivyo, baada ya kuingia licha ya kutopata maelezo mengi, bali nimegundua WIKIPEDIA wametoa taarifa isiyo sahihi kuhusu tarehe...
  2. TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

    Ni habari mbaya ambayo imetokea muda si mrefu. Aliyekuwa Mhadhiri wa Vyuo Vikuu mbalimbali nchini, Prof. Mwesiga Baregu amefariki dunia mapema leo. Prof. Baregu alikuwa pia Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA. Pia Soma: Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa...
  3. Taarifa za kuugua kwa Prof. Mwesiga Baregu

  4. Prof. Baregu alifukuzwa UDSM kwa sababu za kisiasa, huku Bashiru akiachwa kwakuwa ni CCM

    Miaka kadhaa iliyopita Professor Mwesigwa Baregu akihudumia masomo ya siasa na utawala alinyanyaswa, kudhalilishwa na kudunishwa utu wake pale Mlimani. Bashiru aliachwa aendelee kula mema ya nchi kwa kuwa ni CCM na leo ameteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama. Twaambiwa alikuwa mwanachama wa siri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…