Wadau nimekuwa nikifikiria sana kuhusu majaribio yanayofanywa kwenye jua na mwezi.
Hivi karibuni ndugu zetu India japo Wana matabaka makubwa sana ya matajiri na maskini lakini wameweza kufika kwenye mwezi Tena kwenye darkside of the moon ambako hakuna inchi umewahi fika.
Media hasa za uingereza...
Hili ni swali fyatu kwa watu wadadisi wa mambo.
Je, Jua linaloonekana Marekani ni tofauti na Jua la bara la Afrika? Kuna aina ngapi za Jua? Ni Jua moja kweli?
Je, mwezi unaonekana Saudi Arabia ndio huo huo mwezi unaonekana Afrika? Kuna Mwezi aina ngapi? Ni mwezi mmoja huo huo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.