Kwenye Maombi ya kitaifa Dodoma alisema yafuatayo:
NDANI YA MIAKA MITATU
Hatma ya mataifa mbalimbali itaamuliwa na vitu vikubwa vitatu na hivi vitu vitatu vitafaya kazi pamoja.
1. Siasa
2. Uchumi (kwenye eneo la soko pekee)
3. Mahusiano ya nchi moja na nchi nyingine
Halafu hivi vitu vitatu...
Wadau kwema?
Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.