John Pombe Magufuli ni rais ambaye amesifiwa sana ndani na nje ya nchi kutokana na sera zake za Tanzania kwanza, hapa kazi tu, kupiga vita rushwa, kubana matumizi, kujitegemea, kuziba mianya ya ufujaji pesa, na kuwekeza kwenye miundombinu ya viwanja, barabara, viwanja vya ndege, stand za...
Wanabodi, Salaam..
Nimewiwa kuja na bandiko hili usiku wa leo kutokana na changamoto nilizokutana nazo barabarani.
Kila mtu anafahamu kwa sasa nchi yetu imepiga hatua kwa namna fulani katika kukaribisha uwekezaji wa nje (foreign investment) ukilinganisha na miaka kadhaa nyuma. Lakini kwa...
Mh. Rais pole na majukumu yako ya kila siku na kubwa ni katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Natambua kuwa kwa nyakati tofauti tofauti ukipata nafasi huwa unapitia mitandao ya kijamii na kuona au kusoma jumbe mbali mbali wanazotoa watanzania au jumbe za kukushauri na nyingine nyingi za...
Lissu na kundi lake wakati wa Korona walifikiri suluhisho la Korona kwa haraka ni kufanya lockdown. Hivi aliwaza kwa mazingira ya Watanzania ambao wengi ni machinga, kwamba kula yao ni lazima watoke? Magufuli alijua aina ya maisha ya watu wake na mbinu gani aitumie. Kwa muda ule, Lissu angekuwa...
Kwa taarifa zisizo RASMI( unpublished data) ni kwamba Dr Mpango amekuwa haridhishwi na namna nchi inavyopelekwa kwa sasa hasa kwenye uwekezaji wa resources .
Kwa mfano, uwekezaji wa DP world Tangu ile Safari ya Dubai, Dr Mpango alikuwa against na process nzima, resources za nchi zinaenda...
Wanabodi
Hii ni C&P ya Barua ya wazi kutoka kwa mwana JF huyu Mwandamizi!.
Sababu ya kuileta Barua hii hapa, ni kuwajulisha wanabodi na Watanzania, kuwa tuna Watanzania wengi ndani na nje ya nchi ambao ni wazalendo wa kweli wa Taifa hili, waliofanya vitendo vya kishujaa, bila kutaka kulipwa...
Hakuna aliyewahi kuthibitisha kuwa Tundulisu amewahi kuhujumu mali au fedha za umma hata sh. Mia mbili.
Hajawahi kuwa muoga kwasababu ya maslahi.
Anaposimamia jambo uhai wake huuweka pembeni kabisa.
Awamu ya tano kila walipotafuta mpenyo wamfunge afie jela hawakuona hata kadirisha kaliko wazi...
ACHAMBUA MATUKIO YA UCHAFUZI WA UCHAGUZI WA TAMISEMI 2024
https://m.youtube.com/watch?v=gRp4sZuVa-A
Kada wa CCM akihoji chama dola kongwe na serikali yake kwa kuteka na kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi wa serikali za mitaa TAMISEMI 2024, na kusema huku ni kushindwa kwa chama kongwe dola...
Habari wadau
Nimekumbuka sana heka heka za bwawa la umeme la rufiji kujengwa.
Ili bwawa limejengwa kwa mbinde sana.
Mshindi wa tenda hiyo kampuni ya Arab contractor ilipitiq vitisho vingi sana kwamba haitapewa support yoyote na ikapigwa vikwazo na banks zilizokuwa zinam support mpaka bank ya...
Mzee tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu, uzalendo wako sisi watanzania tunauona.
Usichoke kusema na kukemea na kushauri viongozi wetu hawa ambao wengi wao wanajua kujaza matumbo yao, hawapo kimasilai zaidi ya inchi.
Mzee wetu wewe ndio uliobaki ndani ya chaa cha CCM mwenyewe uthubutu...
Kwa Mtanzania mzalendo anayeipenda nchi yake, wala haihitaji akili nyingi wala 'D' mbili kuweza kutambua jinsi nchi ilivyorudi nyuma tangu awamu hii iingie madarakani. Tukiacha suala lililopo mezani la utekaji na mauaji makubwa ya kutisha linalopelekea raia na watanzania kuishi kwa hofu na...
Kama wewe ni mzalendo kwanini ukatae msaada wa uchunguzi kutoka Scotland Yard
Je unafurahia utekaji kwasababu tu si ndugu yako kapotea au chama chako?
Hata kama vyombo kweli vinafanya uchunguzi kuna shida gani kusaidiwa? Hasa pale ambako kuna wasiwasi vyombo vyetu vinahusika.
Soma pia...
Ni kujichanganya kama unapenda nchi lakini hupendi katiba mpya wala demokrasia. Kwa wale wanaosema wanapenda nchi ni wazalendo lakini hawataki katiba ambayo itasaidia nchi yetu kuwa nchi bora zaidi.
Lakini cha ajabu hawataki Watanzania wengine wawe na Uhuru na Demokrasia. Sasa ni kweli watu wa...
Sijali Sijaona anamzungumza baba yake.
SIJALI SIJAONA ALIPOTEMBELEA MAKTABA
Sijali Adam Sijaona mtoto wa Lawi Nangwanda Sijaona ametembelea Maktaba na tumejaliwa kufanya mazungumzo kuhusu baba yake.
Sijali amerithi hazina kubwa sana ya nyaraka na picha adim za harakati ya kupigania uhuru wa...
Jamaa baada ya kuvuliwa uwaziri ndio amejifanya mtu wa kujenga hoja, ni baada tu ya kunyang'anywa tonge mdomoni.
Alibebwa na Hayati Magufuli Ila mfumo wa Mama samia umemtema. Mpina akubali kuwa kila mfumo una watu wake, laiti kama mfumo wa mzee msoga ungeendelea kuwepo hadi leo wengine...
Ikitokea ukahabatika ukibahatika ukawa Rais wa visiwani Zanzibar
Je, utasimamia nchi kizalendo au utafanya kupiga deal uwe bilionea tu
Au ukiacha kuwa Rais Zanzibar
Ukibahatika kwenda somalia ukaingia kwenye mfumo wa siasa ukibahatika kuwa waziri
Je, utakuwa mzalendo?
TABIA ZA MTU MZALENDO
Na Joseph Nyoni
Uzalendo nini? Uzalendo ni ibada ya kulipenda, kulitumikia na kulitetea taifa katika hali yoyote pamoja na kutanguliza maslahi ya taifa.
Zifuatazo ni tabia za mtu mzalendo
1. Analipenda taifa lake na hawi tayari kuliona taifa lake linaingia kwenye shida...
MUASISI WA TANU TANGA: HAMISI HERI AYEMBA
Tanga iliibuka mwaka 1955 na kukabiliana na serikali ya kikoloni kupitia juhudi binafsi za kikundi cha wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Ngamiani.
Kikundi hiki kiliongozwa na kijana Peter Mhando, katibu wa zamani wa kile kikundi cha...
Hii...kwakweli ni AIBU Sana na tuna create taifa masikini na OMBA OMBA pale ambapo katika Population ya watu milioni 61 wanaolipa kodi ni ni milioni 3 tu.
Unajua hadi inatia woga hata kule kufikiri tu, kuwa huo ndio ukweli...
Ndio maana Taifa letu tuna shida kubwa sana hilo eneo ili hali...
"Kuna clip moja mimi nimeipata, Rais Samia alipokuwa madarakani Lissu alisema Rais Samia amebadilisha upepo wa siasa, nilikuwa na kesi 6 za hovyo hovyo zimefutwa na mama anafanya kazi nzuri. Sasa leo anasema mambo yote hayajafanyika, leo anahoji nani alimwalikwa kwenye baraza la wanawake la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.