mzamiru yassin

Mzamiru Yassin (born 3 January 1996) is a Tanzanian football player who plays as midfielder for Simba SC and the Tanzania national team.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    Mkude na Mzamiru waitwe Taifa Stars

    Jonas Mkude na Mzamiru waongezwe kikosini. Wana uzoefu na mechi kubwa na ngumu, Wana nguvu na wanaweza bado. Ziko mechi zitawahitaji hasa zile zitakozohitaji kugongana na uzoefu,
  2. Metronidazole 400mg

    Natamani kuona Deborah Fernandez anacheza pacha na Yusuph Kagoma na sio Mzamiru

    Kwako kocha mkuu wa Simba, msauzi Fadlu David Natamani Sana kuona kiungo Bora mzawa Yusuf kagoma anapata muda wa kucheza Simba, kutompa nafasi ya kutosha ni kumkosea mchezaji na kipaji chake. Mzamiru wa Nini kila siku???, Yani una option ya kagoma na okejepha alafu una opt kuanza na mzamiru...
Back
Top Bottom