Anaandika Ali Kibao, mtoto wa kwanza wa mzee Ali Mohamed Kibao.
________
Baba yetu hakutaka makuu wala umaarufu. Ali-dedicate sehemu kubwa ya maisha yake kwa wanawe na wajukuu zake. Hayo kwake yeye ndo ilikuwa fahari yake. Hata hivyo alikua mtu wa msimamo, mbishi sana na asiyeyumbishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.