mzee mtei

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Mzee Mtei ataufurahia sana Uongozi wa Tundu Lisu kuliko Ule wa Mbowe, enzi zake Edwin alikuwa Mtu wa misimamo mbele ya Nyerere!

    Freeman Mbowe ni Kiongozi mzuri ila kama walivyo Wafanyabiashara wengine wote anaangalia kwanza Faida katika jambo lolote Lile na CCM iliutumia vizuri sana huu udhaifu wake. Tundu Lisu ni tofauti yeye ni mwanaharakati na Tanzania Kwa sababu ilishajipatia Uhuru wake Kutoka Kwa Mkoloni...
  2. J

    Ratiba ya Uchaguzi CHADEMA itatolewa lini? Hatutegemei Mzee Mtei apendekeze jina la Mwenyekiti

    CHADEMA ni chama cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi. Ni vema ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wake ikatolewa mapema ili kuepuka undugunization huko mbele ya safari. Igeni CCM ambako ni marufuku ndugu kubebana. Wednesday, ubarikiwe sana!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…