Ndugu zangu kuna tatizo gani mzunguko wa fedha umekuwa ni kidogo sana. Biashara haziendi kabisa na kama vile biashara zimesimama kabisa. Kama nchi tunaelekea wapi?.
Katika uchumi kila namba ina umuhimu mkubwa either ni kubwa au ndogo hivi sasa Tanzania kwenye currency system sarafu ya Tshs 50 ndio kima cha chini kama means of exchange na Noti ya 10000 ndio kima cha juu.
Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa...
Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya...
Nilitegemea mikutano mitatu ya kwanza ya CHADEMA hali ya Uchumi ndio ingekuwa Hoja kuu. Cha ajabu hoja kuu imekuwa Maridhiano ya CCM na CHADEMA ambayo hayawahusu Watanzania wote.
Unapopata fursa ya kuongea na Wananchi zungumzia mambo ya Taifa siyo ya chama chako. Nampongeza Komredi Chongolo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.