mzunguko wa fedha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Mzunguko wa fedha kwa sasa ni kidogo sana

    Ndugu zangu kuna tatizo gani mzunguko wa fedha umekuwa ni kidogo sana. Biashara haziendi kabisa na kama vile biashara zimesimama kabisa. Kama nchi tunaelekea wapi?.
  2. BabaMorgan

    Malipo ya serikali na figure ambazo hazipo kwenye mzunguko wa fedha

    Katika uchumi kila namba ina umuhimu mkubwa either ni kubwa au ndogo hivi sasa Tanzania kwenye currency system sarafu ya Tshs 50 ndio kima cha chini kama means of exchange na Noti ya 10000 ndio kima cha juu. Katika concept ya kawaida tunatarajia malipo yote yatapangwa kutokana na uwepo wa...
  3. J

    Kamari inapunguza mzunguko wa Fedha kwenye uzalishaji na kufanya maisha yawe magumu, CCM liangalieni hili

    Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi" Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya...
  4. J

    Kamari inadhoofisha Nguvukazi na kupunguza mzunguko wa Fedha kwenye Uchumi

    Nilitegemea mikutano mitatu ya kwanza ya CHADEMA hali ya Uchumi ndio ingekuwa Hoja kuu. Cha ajabu hoja kuu imekuwa Maridhiano ya CCM na CHADEMA ambayo hayawahusu Watanzania wote. Unapopata fursa ya kuongea na Wananchi zungumzia mambo ya Taifa siyo ya chama chako. Nampongeza Komredi Chongolo kwa...
Back
Top Bottom