Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia.
Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi.
Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga...
Habari.
Huyu yuko anashinda sana Live TikTok na kuwashawishi vijana wawe mahanisi.
Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe huku akitembea mitaani na kushinda Tiktok.
Anajiita Mungu.
Anashinda Tiktok masaa 24.
Swali langu nani amadhamini huyu kichaa ili aweze kutrend
Huyu jamaa alikwenda kwa lulenge aakamsfia na makofi kibao kanisani
Gafla kamkaqta naabii mwenzie anasema asiengeweza kuendelea na mahubiri kama yale ya kishenzii
https://www.facebook.com/reel/1511150019497272/?mibextid=FqQbvRVe40gbju2b
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.