nabii tito

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nabii Tito kagusa kusikogusika, soon watamshughulia.

    Hii nchi chezea vyote usimguse kiongozi Mwandamizi yeyote. Nabii Tito alilitambua hili ndio maana huwa hajawahi kuwapinga. Mara nyingi huwasifia. Pili usiguse watu watu wa Dini ya Kiislamu. Waislamu wana msimamo na hawayumbishwi kirahisi. Kitendo cha Nabii Tito kumgusa Muhammad ameyakanyaga...
  2. Nabii Tito nani anamdhamini kumdhihaki Mungu

    Habari. Huyu yuko anashinda sana Live TikTok na kuwashawishi vijana wawe mahanisi. Amekuwa akipost video amevaa nguo zenye nembo ya CCM na mkewe huku akitembea mitaani na kushinda Tiktok. Anajiita Mungu. Anashinda Tiktok masaa 24. Swali langu nani amadhamini huyu kichaa ili aweze kutrend
  3. Nabii tito amkana kiboko ya wachawi asema lazima afungiwe hakuna jinsi

    Huyu jamaa alikwenda kwa lulenge aakamsfia na makofi kibao kanisani Gafla kamkaqta naabii mwenzie anasema asiengeweza kuendelea na mahubiri kama yale ya kishenzii https://www.facebook.com/reel/1511150019497272/?mibextid=FqQbvRVe40gbju2b
  4. Nabii Tito: Mimi nimezaliwa nikiwa Hanisi na Mke wangu ni Bikra

    Hivi, huyu jamaa ana agenda gani? Kwanini anaachwa?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…