The National Database & Registration Authority (NADRA) (Urdu: مختاریہ برائے قومی اندراجات و معطیات) is an independent and autonomous agency under the control of the Interior Secretary of Pakistan that regulates government databases and statistically manages the sensitive registration database of all the national citizens of Pakistan.Nadra is also responsible to issuing the computerized national identity cards to the citizens of Pakistan, maintaining their sensitive informational upgraded in the government databases, and securing national identities of the citizens of Pakistan from being stolen and theft. It is one of the largest government database institution, employing more than 11,000 people in more than 800 domestic offices and five international offices.Codified by the Second Amendment, §30 of the Constitution of Pakistan in 2000, the constitution grants powers to NADRA to enact civil registration and sensitive databases of Pakistan's citizens; all databases are kept to ensure the safety of its citizen's databases. The organization is currently headed by Brig (Retd) Khalid Latif who is the Acting Chairman.
System ya elimu ya hapa Tz inafanana karibu vyote Tanzania
Lecturers wengi wa vyuo vya Tanzania ni wahitimu UDSM
Walimu wengi hawaandai notes zao, wanatumia notes za mitandaoni kufundishia darasani.
Wanafunzi wengi wanasoma kwa kukariri sana kwasababu lugha ni changamoto
Jambo la kushangaza...
Huwa kuna vijana wafanyabiashara wanapata upepo mkali wa pesa uelekeo wao wakiwa wadogo kwenye rika la 20s - 30s za mwanzo, Ghafla kuna kipindi inatokea biashara zinayumba nao huanza kudondoka kiuchumi, aina hii ya vijana ni ngumu kuwaona wanajirudi upya, wanaojitahidi kujirudi upya huwa wana...
Tembo na jamii ya nyani wanaonekana kuomboleza wanapompoteza mwenzao pengine na dolphin kwa jinsi alivyo na akili huenda akawa anajua japo sina uhakika.vipi kwa wanyama wengine Kama Fisi,simba,ngamia,punda,kuku na wengineo huwa wana kaa na kufikiria kwamba kila nafsi itaonja mauti?yaani ukute...
Hivi Marais na mawaziri wa Marekani huwa hawajihusishi na vitendo vya rushwa wakiwa madarakani au wanafanya kijanja sana? Huwa nasikia viongozi hawa wakitajwa kwenye skendo mbalimbali lakini ni nadra sana na sijawahi kusikia kabisa Rais au waziri Marekani anatuhumiwa kwa rushwa zinazohusu pesa...
MUHIMU: Hakuna kabila lisilo na Tambiko, HAKUNA !! matambiko mpaka leo hii hufanywa na kila kabila na sanasana ni zile koo za kichifu lakini bado ni tofauti kabisa na uchawi huu tunaozungumzia hapa wa kurogana, kutupiana majini, malimbwata, kuwanga usiku, n.k.
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii...
Niliwahi kumpa mwanafunzi mwenzangu shilingi laki 3 tukiwa chuo, yeye akiwa mwaka wa mwisho ili alipie kodi ya geto lake mimi nikirudi nihamie.
Aliingia mitini kwa miaka mitatu hivi, siku ya siku nikiwa sina hili wala lile napokea meseji, shilingi laki 3 na elf 20 imeingia, napokea na meseji...
Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine
Ni IT wachache mnooooo wameweza...
Hili jambo kwa muda nimekuwa nimekuwa nikilishuhudia mara kwa mara pale viongozi wetu wanaposhughulika na miradi yetu na vyombo vya habari kuwasogelea. Binafsi sijisikii kuipenda sana hii tabia. Hata Ayoub Riyoba nimemsikia leo anasema SGR yetu ni ya kwanza kwa Afrika.
Kwanini hivi...
Kwa mtindo huu wa kiongozi yupo ukumbini anahutubia ila huko barabarani maisha hayaendelei ni nadra Tanzania kufika uchumi wa kati, ile mnayoitangaza kila wakati huwa ni chengatu.
Yaani hata nyie viongozi mnapokuwa kwenye shughuli zenu za kikazi mjue mnatesa na kuwapotezea raia muda.
Naelekea...
Sijui kwa upande wangu tu au hata kwako unaliona hili.
Askari baadhi wamekuwa wanapiga sana mtungi na kupelekea kufukuzwa kazi. Mfano hai, ndugu yangu naye alifukuzwa kazi akiwa na nyota kisa pombe.
Kwanini mambo haya hutokea zaidi kwa askari?
Rais Mama Samia ni mtu anayeamini kwenye siasa za ushawishi badala ya kutumia maguvu ‘Unnecessarily’.
Ni mtu anayeamini kwenye utu na muadilifu kweli kweli. Falsafa yake hii, humfanya asiwe anaangalia tu matokeo ya mwisho ya michakato, bali pia uhalali wa michakato yenyewe na kutumia busara ya...
Ndiyo,ni hapa Rujewa.
Leo ni karibu miezi 6 sasa upatikanaji wa umeme hapa Rujewa ni wa kiwango Duni ambacho hakielezeki!
Mfano, kwa wiki moja upatikanaji wa umeme hauzidi masaa 48 na tatizo halieleweki ni nini.
Mbaya zaidi, si Tanesco ama kiongozi yeyote hawasemi ama kutangaza kama upo mgawo...
Wakuu salaam Sana,
Baada ya kuchoshwa na ajira nikaamua nirekebishe maBanda nianze kufuga Hawa kuku wa week nne (broilers) ila Sasa nimekuja kukwama baada ya kusaka vigaranga bila mafanikio na kuna makampuni ukiwapigia wanakuambia hawana vifaranga ila utasikia siku flani wameuza Sasa siajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.