St. Augustine University of Tanzania
The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect for human dignity. SAUT is an equal opportunity university...
Habari zenu wakuu.
Mimi ni mgeni hapa JF lakini nimekuwa nikifuatilia platform hii kwa miaka kadhaa sasa.
Lengo la kuja hapa jukwaani ni kuomba msaada wenu wa kazi ya aina yoyote ile ili mradi tu niweze kupata kipato chochote cha kuisaidia familia yangu...
Binafsi nina elimu ya kidato cha...
Jf habari za humu
Uzi wangu huu hauna mambo mengi, mimi n kijana wa kiume umri miaka 25 kwa sasa sina kazi yeyote na ninatamani sana kuhama mkoa niliopo.
Ombi langu kwenu najua humu kuna watu tofauti natamani kama ningeweza angalau kufanya vibarua kwenye mradi wowote wa ujenzi wa serikali...
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoqeza nipatia uzoefu wa kazi hata kama hawalipi natafuta uzoefu katika fani ya uhasibu.
Nipo temeke dar es salaam na shahada ya uhasibu na teknolojia ya habari.
Natumai mko wazima.
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina shahada ya Usimamizi wa Manunuzi na Mnyororo wa Ugavi (Procurement and Supply Chain Management) pamoja na cheti katika matumizi ya kompyuta (VETA).
Ninaandika kutafuta nafasi ya kazi ambayo itanipa fursa ya kutumia maarifa yangu na ujuzi...
Job type: Full-time
Direct Sales Staff ( Fixed Term – 3 Years ) (300 Position(s))
Job Purpose:
Support in driving retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and existing customers, while deepening existing customer...
Vacancy:
Health Volunteer – Receptionist
Ref: 2024-18
Job type: Full-time
Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the preferred provider of accessible specialized health services in Africa. It serves – as a healthcare social enterprise and through...
Job type: Full-time
ABOUT US:
Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products with a vision “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and...
Job type: Full-time
ASSISTANT TREASURY ACCOUNTANT (1 Position(s))
Responsibility:
Perform routine accounting task e.g. posting process, data entry, posting of ledgers and preparation of voucher.
Where assigned cashier duties to ensure all company money is received and receipted and that the...
Job type: Full-time
The Lutheran Mission Cooperation (LMC) is a joint instrument between the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) and her partners from Europe and the United States of America. The cooperation is overseen by the LMC board and it operates under the vision and mission of...
Wakuu naombeni mwenye link yoyote ya kunisaidia kupata kazi anisaidie.
Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye...
JOB DESCRIPTION
MEL TECHNICAL SPECIALIST/ADVISOR
Accountable to: IIDC Executive Director
Directly Reporting to; Head of Programs
Based in: TANZANIA
Deadline: 16th September, 2024
About Impact and Innovations Development Centre
Impact and Innovations Development Centre (IIDC) is a...
Jinsia: Mwanaume
Umri:21
Elimu: kidato cha 6
Mafunzo: JKT kwa mujibu wa sheria 2022
Fani: Udereva (leseni hai kwa madaraja A A2 D)
Makazi: Arusha
Nilikuwa naomba kwa atakae guswa au mwenye channel yoyote kuhusiana na kazi ya upagazi anisaidie...kwa muda wa huu walikizo za chuo niweze kupata...
Habari zenu Wakuu.
Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua.
Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kiasi chochote kulingana na uwajibikaji wangu watakavyoona.
Naishi Dar es salaam, Ni fresh...
Wadau natafuta msimamizi wa kituo cha kupiga simu kwa wateja. Kazi zake ni kama zifuatazo
1. Kusimamia timu ya upigaji simu ili kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi
2. Kuongoza timu ya upigaji simu kulingana na Utaratibu na malengo ya Taasisi
3. Kusimamia na kuongoza vikao vya kila siku vya...
Position: Child Safeguarding and Protection Coordinator
Duty station: National Office- Dar es Salaam
Reporting to: National Director
Contract Period: 2 years with possible extension
Major Responsibilities
Annually develop a national action plan based on status quo analysis together with the...
Position: Plant Pathologist
Location: Kilimanjaro, TaCRI Lyamungu
Reports to: Programme Manager(Coffee Research Improvement Programme)
Roles and responsibilities:
Support Plant Breeding and provide information to stakeholders pending forecasting or existence of coffee diseases for managing the...
Position: Assistant Storekeeper – G3
Type of Contract: Fixed Term Appointment
Duty Station (City, Country): Dodoma Liaison Office
Duration: 12 months
Standard Minimum Qualifications
Education:
Completion of secondary school education.
Experience:
At least 3 years of logistics operations...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.