Na hata kama mama alikuwa ana kipato chake, kwa asili kipato kinachotumika kwenye nyumba huwa ni cha baba.
Mama kapika chakula - bila hela ingewezekana?
Mama kanipa hela ya nguo - ni baba kazitafuta, kampa mama awape.
Mama kanitumia pocket money - ni baba kazitafuta, kampa mama awape...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.