Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Mkazi wa Kigamboni. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani [ procurement, logistics and supply chain management]
Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye...
Hamjambo wote!
Majukumu ya Baba yapo bayana. Ushaambiwa Ubaba ni cheo cha juu zaidi Duniani.
Na hakijawa cheo cha juu burebure, hivihivi au kirahisi. Ni kwa sababu ya majukumu makubwa aliyopewa Mwanaume ndiye Baba.
MAJUKUMU YA MSINGI YA MWANAUME AU BABA.
1. Kutafuta Fursa na kujijenga...
Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo.
Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali.
Kutokana na idadi kubwa ya...
St. Augustine University of Tanzania
The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect for human dignity. SAUT is an equal opportunity university...
HOD: Customer Care Operations
Aggregate function: Commercial
Business Area: Local Commercial Operations
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodafone, we’re working hard to build a better future. A more connected...
Marketing Manager
Background
DCB Commercial Bank Plc is a fully-fledged retail and commercial bank in Tanzania. The bank offers banking services to Individuals, Microfinance, Small to Medium sized Businesses (MSME), as well as large corporate clients. DCB Bank has a wide branch network of over...
Join Kilombero Sugar Company Limited: Your Career Awaits in Tanzania!
Introduction
Are you ready to sweeten your career with a leading name in the sugar industry? Kilombero Sugar Company Limited (KSCL), Tanzania’s largest sugar producer, proudly operates under the iconic “Bwana Sukari” brand. As...
Receptionist
Mega Beverages Limited
Arusha
Mega Beverages is one of Tanzania’s leading and truly homegrown alcoholic beverages companies. The home of K-Vant Premium Spirit, Asilia Vodka, and many more to come.
The ideal candidate is a detail-oriented team player who will be the first point of...
IT’S NOT JUST AN OPPORTUNITY TO GET ON THE CAREER LADDER.
IT’S AN OPPORTUNITY TO HELP THE WORLD GET ON TOGETHER
Why do people call us the world’s most international company? Is it because we operate
in more countries than any other logistics provider? Is it because we invented cross
border...
Habari zenu wana Jamii Forums
Mimi ni kijana miaka 23 niliehitimu Diploma ya Insurance and Risk Management IFM mwaka jana, Natafuta fursa ya ajira, kazi au part time job.
Tafadhati naomba kama kuna nafasi yoyote ya ajira hata kama ni tofauti na career yangu, naomba nisaidiwe.
Mkoa wowote ndani...
Baadhi ya kazi ndogo ndogo zinazoweza kupa connection kubwa ukatoka kimaisha kirahisi
Hizi kazi zaweza onekana ndogo na mshahara mdogo lakini ukiwa mwaminifu sana na kufanya zaidi ya kazi umepewa rahisi kutoka kimaisha
Kazi ya kwanza ni u house girl .Ma house girls wengi waaminifu na wachapa...
Kwajina naitwa Saiid Omaly Ngulupy
Nina uzoefu wa udereva wa miaaka minne .nimkazi wa chamzi .ninauzoefu wa gari zifuatazo garindogo ya aina yeyote .na kinzia tani moja ady 20 kwa gari za mizigo
Pia nina uzoefu wa ufundi miaaka mitano .mwaka moja kati ya iyoo nilisomeaa ufundi katika chuoo cha...
Leo gerson msigwa akiongea na waandishi wa habari anasema serikali haiwezi kuajiri walimu wote kama ambavyo haiwezi kuajiri waandishi wa habari na fani zingine. Na akaongeza kwakusema kua serikali hua inaajiri walim kwa awamu kila mwaka.
Hapa ni siasa katika elimu kwakweli .
Ivi kweli :
1...
Habari za muda huu wadau wa JamiiForums.
Naomba ushauri na maelezo kuhusu Recategorization kwenye swala la ajira.
Mimi ni Clinical Officer lakini pia ni Mwalimu wa mathematics Ngazi ya degree. Niliomba ajira za Ualimu degree (mathematics) na nimepangiwa post tayari.
Niliomba ajira hii baada...
Hili suala la ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia nzima ila hatupaswi kubweteka kisa majirani nao wana tatizo kama letu. Kama mwananchi mzalendo nina ushauri kwa serikali ili kupunguza tatizo la ajira lililopo na kuzuia huu uanzishwaji wa vikundi vya vijana wasio na ajira.
Haileti picha nzuri...
Habari gani wakuu bila kupoteza muda niingie kwenye mada
Jamani kwa yoyote mwenye connection na kampuni za ulinzi zinazolipa kwa wakati Zanzibar msaada wako unahitajika hapa tujuze tafadhali na Mungu atakubariki.
Habari Wakuu, Kiwanda Kipo Dodoma cha Alizeti kinahitaji wafanyakazi wa ndani ya Kiwanda wenye kujua ku operates Machine mbalimbali.
1. Boiler Operator
2. Refinery Operator
3. Oil Crusher Operators
4. Oil Packaging
4. Forklift Operator
Kama una uzoefu kwenye moja ya eneo hilo naomba tuma CV...
We are a building material company supplying high quality building materials
Role Description
This is a contract hybrid role for a Sales Associate . The Sales Associate will be responsible for day-to-day sales tasks, including prospecting, client meetings, and closing deals.
The role is for...
Habari za wakati huu wanaJF,
Naombeni mnisaidie wenye uzoefu na hili.
Pengine kwenu wanaJF mlitumia njia zipi kuweza kupata ajira au kujiajiri, nimeuliza hili kwa sababu naona maisha yanazidi kunipalia, binafsi nimehitimu shahada ya mambo ya uchumi na takwimu nimejitahidi kutafuta ajira kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.