nafasi za kazi tra

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jumah JR

    Kamba uliomba nafasi za kazi TRA jipange, jiandae mapema

    Leo, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda, ametangaza kuwa waombaji 135,027 wamejitokeza kuomba nafasi za kazi 1,596 zilizotangazwa na mamlaka hiyo. Nafasi hizi za ajira zilitangazwa mnamo Februari 6, 2025, zikijumuisha kada mbalimbali. Kutokana na idadi kubwa ya...
  2. Financial Analyst

    Yani ajira 1,596 zimeombwa na watu 135,027, aiseeeee. Vijana tafuteni ya kufanya lasivyo mtaingia katika wimbi la msongo na uraibu

    Serously amka utafute ustadi wa kufanya jambo lolote la kukuingizia pesa. Na wewe kama una hio nafasi ishikilie kwa shukrani na unyenyekevu
Back
Top Bottom