Ndani ya mfumo wa CCM na hata serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejazana viongozi/watendaji wasio na uwezo na hii inatokana na kutokuwepo vetting system inayoeleweka.
Huwezi kujenga taifa Bora kama hauna vetting system.sisi hata vetting system hatujui maana yake.
Sifa pekee ya...