1. Raila Odinga (KE): Amewania mara ya 5 na kuangushwa zote
Odinga, mwanasiasa mkonge na mpinzani wa muda mrefu alikuwa anaungwa mkono na Rais anayemaliza muda wake, Uhuru Kenyatta ambaye pia ni mtoto wa rais wa kwanza wa taifa hilo, hayati Mzee Jomo Kenyatta.
Lakini hili si jaribio la kwanza...