nahitaji mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mung Chris

    Nahitaji mke wa pili nioe ndani ya miezi 5

    Nahitaji mke wa pilli wa kuoa ndani ya miezi 5 tu kuanzia sasa hivi mwezi wa 3, mimi mkristo. Nina miaka 51. Mwanamke asiwe mchaga, mrangi au mpare. Mwanamke awe hajawahi olewa awe na umri 49- 51. Awe na mtoto 1 tu au asiwe naye. Awe anaishi kwake maana mm nipo kwangu. Ndoa haita husisha mali...
  2. The patriot man

    Nahitaji mke wa kuoa

    Nina miaka 33 Dini mkristo Elimu Degree Kazi muajiriwa Natafuta mke asizidi miaka 30 Sijabadili Id kama wengine ni maisha yangu ya nyuma tuu karibuni. Kigezo Awe tuu na hofu ya Mungu. Awe tayari kuzaa nitamuoa kabisa Dini yeyote
  3. M

    Mke anahitajika sasa

    Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu. Mchumba aliyetayari na anayejitambu anakaribisha. Ni PM Kwa maelezo zaidi.
  4. Imchomvu

    Nahitaji mke

    Mwaka unaisha ivo sijapata mke Naishi vikindu Kama yupo basi aje mwenye miaka 25-35. Aliyetayari tuyajenge DM
  5. Othman Qadir

    Moyo mpweke - nahitaji mke wangu wa maisha

    Habari ndugu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni mpweke na nipo singo, natafuta mwanamke ambaye atanipa faraja moyoni kwa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Nina uhitaji wa mwanamke ambaye atakuwa mstari wa mbele kushirikiana nami kwa maisha ya familia ili kuleta furaha...
  6. madindigwa

    Nahitaji mke wa pili

    Kama kichwa cha habari kinavyo sema kutokana na changamoto za safari za utafutaji na kukaa muda mrefu nje ya familia nahitaji mke wa pili mimi ni muislam nae jitahid kufuata maadili ya kiislam kabila mnyamwezi /msukuma umri sasa miaka 39 makazi ya familia yangu dar mwanamke nnae muhitaji Awe...
  7. GANG MO

    Nahitaji mke miaka 30-35

    Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40. Nipo iringa. Nina mtoto mmoja. Ninahitaji mke mwenye umri kuanzia 30 mpaka 35. Awe hana mtoto au single maza with one kid. It's fine. Njoo DM tuyajenge
  8. EMMANUEL JASIRI

    Mke mwenye hizi sifa 16 anahitajika haraka

    Vigezo; 1. Miaka 30 Mpaka 41 2. Amezaliwa Mara ya Pili. 3. Amejazwa Roho Mtakatifu. 4. Amebatizwa Maji Mengi. 5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii Wote Wenye Makanisa. 5. Aliye Tayari kuwa Mama Mchungaji. 6. Aliye Tayari kuishi mazingira Yoyote...
Back
Top Bottom